Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Lawrance Masha ajivua uanachama CHADEMA

Aliye wahikuwa waziri wa mambo ya ndani na mbunge wa nyamagana mh Lawrance Masha amejivua uanachama wa chadema.Ikumbukwe kuwa Masha alihamia CHADEMA mwezi August mwaka2015 kutoka chama cha CCM. Barua hapo chini yaeleza sababu ya kujivua uanachama...

Maoni